#Local News

POLISI ‘WAHALIFU’ WAKAMATWA

Maafisa wa DCI wanatarajiwa kuwafikisha mahakamani hii leo washukiwa 4 wakiwemo maafisa wa zamani na wa sasa wa polisi wanaohusishwa na visa vya utekaji nyara na wizi wa kimabavu jijini Nairobi.

Mmoja wa washukiwa Cleophas Wambua aliyekuwa akihudumu kama afisa wa polisi katika kaunti ya Homa Bay, alinaswa hapo jana mafichoni eneo la Kitengela akiwa na mwenzake James Omwami.

Wengine ni maafisa wa DCI Kipkurui Bii na Mwalim Said Mwalole, huku waathiriwa wakieleza kuhangaishwa na washukiwa hao.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

POLISI ‘WAHALIFU’ WAKAMATWA

MVUA KUBWA KUANZA LEO, IDARA YAONYA

POLISI ‘WAHALIFU’ WAKAMATWA

ODM YASHINIKIZA KAHIGA AKAMATWE

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *