#uncategorized

KARUA: MNAWATUMIA WANAJESHI VIBAYA

Muda mfupi baada ya bunge kuidhinisha kutumkwa kwa wanjeshi kwenye operesheni ya kurejesha utulivu nchini, kinara wa chama cha Narc Kenya Martha Karua ameshutumu hatua hiyo, akisema serikali inawatumia wanajeshi kulinda maslahi ya baadhi ya viongozi.

Katika taarifa kwa wanahabari, Karua aidha ameshutumu visa vya maafisa wa polisi kutumia nguvu kupita kiasi kuwakabili waandamaji.

Aidha, Karua amewataka maafisa wa vikosi vya usalama kutotumiwa vibaya, akisema watawajibishwa binafsi kisheria.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

KARUA: MNAWATUMIA WANAJESHI VIBAYA

KWA NINI RUTO ASIIDHINISHE MSWADA WA FEDHA

KARUA: MNAWATUMIA WANAJESHI VIBAYA

BUNGE LAIDHINISHA WANAJESHI VICHOCHORONI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *