WAFULA; WAHUSIKA WAKAMATWE

Kiongozi wa wachache katika bunge la kaunti ya Transnzoia Erick Wafula ameshtumu mauaji ya kiholela eneo la kware Mukuru kwa njenga jijini Nairobi na vile vile mauaji ya baadhi ya waandamanaji na maafisa wa polisi wakati wa maandamano ya kupinga utendakazi wa serikali.
Wafula ametoa wito kwa serikali kuhakikisha wahusika wote wanakamatwa na kugfunguliwa mashtaka.
Imetayarishwa na Janice Marete