#Local News

WADAU WAOMBA WALIMU PWANI

Washikadau wa elimu katika ukanda wa pwani wametaja uhaba wa walimu na wanafunzi kukosa kuhudhiria vipindi vya masomo katika shule za umma kama changamoto kuu zinazoathiri elim.

Wakizungumza kwenye kongamano la elimu katika shule ya Bomu eneo la Changamwe, washikadau hao wametoa wito kwa serikali kuwaajiri wlaimu zaidi, wakidai kwamba asilimia 50 ya walimu ukanda huo wameajiriwa na bodi za shule.

Aidha, wametoa wito kwa wazazi kuhakikisha kwamba Watoto wao wanafika shuleni kwa masomo.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

WADAU WAOMBA WALIMU PWANI

KUCO YATISHIA MGOMO

WADAU WAOMBA WALIMU PWANI

MACHO KWA SHUJAA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *