#Local News

VIONGOZI WA MERU WAMTAKA MALALA KUJIEPUSHA NA MASWALA YA KAUNTI YA MERU

Baadhi ya viongozi wa kaunti ya Meru wamemsuta katibu mkuu wa chama cha UDA Cleophus Malala kwa kumlaumi naibu kiongozi wa wengi katika bunge la kaunti ya Meru Ziporah Kinya kwa hatua yake ya kuwasilisha bungeni mswada wa kumbandua mamlakani gavana wa kaunti hiyo kawira mwangaza.

Wakiongozwa na seneta wa kaunti hiyo Kathuri Murungi viongozi hao wamemtaka Malala kujiepusha na siasa za kaunti ya Meru.

Imetayarishwa na Janice Marete

VIONGOZI WA MERU WAMTAKA MALALA KUJIEPUSHA NA MASWALA YA KAUNTI YA MERU

SINA IMANI NA KALONZO; JOHN MBADI

VIONGOZI WA MERU WAMTAKA MALALA KUJIEPUSHA NA MASWALA YA KAUNTI YA MERU

MWANAMUME MWENYE UMRI WA MIAKA 35 AUAWA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *