#Local News

MBINU ZA RAILA KUONDOA UMASKINI

Kinara wa ODM Raila Odinga amewataka wakenya kukumbatia hulka ya kuweka akiba ya mapatao yao ili kujiondoa kwenye lindi la umaskini.

Odinga ambaye amezungumza kwenye hafla moja na Rais William Ruto katika chuo kikuu cha Cooperative, amesema hatua hiyo itawawezesha wakenya kuimarika kiuchumi.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

MBINU ZA RAILA KUONDOA UMASKINI

RUTO AZUNGUMZIA MADENI VYUONI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *