MRADI WA UMEME WAZINDULIWA BUNGOMA
Shughuli za masomo, viwanda na usalama katika kaunti ya Bungoma zimepigwa jeki baada ya kaunti hiyo kuzindua mradi wa usambazaji umeme katika kaunti zote 45, utakaogharimu shilingi milioni 90. Mradi huo unaendeshwa na serikali ya kaunti ya Bungoma kwa ushirikiano na shirika la REREC, gavana Ken Lusaka akielelezea matumaini ya kuboreshwa kwa Maisha ya wakazi […]
English 




















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































