WATU WASIOJULIKANA WABOMOA JUMBA KAKAMEGA
Wakazi wa Makunga eneo bunge la Navakholo kaunti ya Kakamega wameachwa vinywa wazi baada ya kundi la watu 12 wasiojulikana waliojihami na silaha butu kubomoa jumba moja la kifahari eneo hilo wakidai kuwa na idhini ya mahakama.
Kwa mujibu wa wakazi hao, kundi hilo limewasili shambani kwa mzee mmoja kwa Jina Joseph Muluka wakiwa na tinga ting ana kuanza kubomoa nyumba yake.
Wamesema chanzo cha hatua hiyo ni mzozo wa ardhi.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































