#Local News

KATE OSAMOR ATEULIWA KUWA MJUMBE WA BIASHARA WA UINGEREZA KWA KENYA

Kate Osamor amepewa jukumu la kuwa Mjumbe wa Biashara wa Uingereza kwa Kenya na pia kwa Tanzania, Uganda, na Rwanda.

Osamor atatambua fursa za biashara na uwekezaji kwa ukuaji na ajira.

Yeye ni mmoja wa wabunge 32 wa Uingereza watakaohudumu katika nchi mbalimbali.

Kenya ilikuwa mshirika wa 72 kwa ukubwa wa biashara na Uingereza hadi Q3 2024 ikiwa inachangia asilimia 0.1% ya biashara yote ya Uingereza.

Imetayarishwa na Janice Marete

KATE OSAMOR ATEULIWA KUWA MJUMBE WA BIASHARA WA UINGEREZA KWA KENYA

GUARDIOLA AKEMEA UDHAIFU WA MAN CITY BAADA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *