#Local News

ODM: HATUTAKUWA TENA UPINZANI

Chama cha ODM kimesisitiza kuwa kitabuni serikali baada ya uchaguzi mkuu ujao na kwamba hakitakuwa tena kwenue upinzani.

Kiongozi wa wachache katika bunge la kitaifa Junet Mohammed, amesema chama hicho kimekuwa kwenye upinzani kwa muda mrefu na hivyo pana jana ya mabadiliko.

Naye mwenyekiti wa kitaifa wa ODM Gladys Wanga ambaye pia ni gavana wa Homa Bay, ametetea ushirikiano wa kisiasa kati ya chama hicho na UDA.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

ODM: HATUTAKUWA TENA UPINZANI

UPINZANI WADAI NJAMA YA KUSAMBARATISHWA

ODM: HATUTAKUWA TENA UPINZANI

IEBC YAANZA USAJILI WA WAPIGA KURA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *