#Local News

RUTO; WAFISADI WATAONA CHA MTEMA KUNI

Wafisadi wametakiwa kuacha mara moja kujinufaisha na mali ya umma kwani kulingana na Rais william Ruto watakabiliwa kwa mujibu wa sheria.

Ruto aidha ameahidi kuhakikisha kuna uwazi serikalini akisema kuwa yeye binafsi yuko tayari kuwajibishwa,kujukumishwa na kukosolewa.

Katika hotuba yake wakati wa kuzindua mpango wa kimkakati wa kitaifa ushirikiano na utawala bora rais.

Ruto ametangaza miongozo tisa miongoni mwao ikiwa ni utoaji wa taarifa sahihi ukusanyaji wa maoni , miongoni mwa maswala mengine huku akisisitiza kujitolea kwake katika juhudi za kukabili ufisadi.

Imetayarishwa na Janice Marete

RUTO; WAFISADI WATAONA CHA MTEMA KUNI

MWANAMKE, WA MIAKA 32, AUAWA KATIKA SOKO

RUTO; WAFISADI WATAONA CHA MTEMA KUNI

MMELEMAZA AFYA, AYACKO AISUTA HAZINA KUU

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *