WAKAZI WA NYAHURURU WAILAUMU SERIKALI YA LAIKIPIA KWA KUTOKARABATI BARABARA
Wakaazi wa mtaa wa mabanda wa Maina mjini nyahururu wanaitaka serikali ya kaunti ya Laikipia kuzifanyia ukarabati barabara za eneo hilo kwa madai kwamba zimeharibika kiasi cha kutopitika.
Kwa mujibuj wa wakaazi hao licha ya serikali ya kaun ti hiyo kupokea zaidi ya shilingi milioni 800 kukarabati barabra za kaunti , hawajanufaika na miradi yeyote ya maendeleo katika mtaa huo.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































