#Local News

KARO VYUONI YAPUNGUZWA

Ni afueni kwa wanafunzi wanaosomea kozi mbali mbali kama vile udaktari na usanifu ujenzi baada ya serikali kutangaza kupunguzwa kwa karo wanayolipa kuanzia mwezi Septemba mwaka huu.

Hatua ya wizara ya elimu kupunguza karo kwa baadhi ya kozi katika vyuo vikuu vya umma imechukuliwa kufuatia mapendekezo ya kamati maalum ya elimu iliyoteuliwa na rais William Ruto mwaka jana.

Aidha, ufadhili na mikopo ya serikali itaendelea kutolewa kwa wanafunzi katika vyuo vikuu vya umma.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

KARO VYUONI YAPUNGUZWA

UPINZANI WAPIGANIA MCHELE

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *