#Local News

KURIA AWASUTA WANAOPINGA MSWADA WA FEDHA

Mwenyekiti wa kamati yafedha katika bunge la kitaifa Kimani Kuria amewasuta wanaopinga mswad wa fedha 2024 kwa madai kwamba wanaoshinikiza wabunge wao kuupinga mswada huo hawajasoma na kufahamu vyema mswada huo.

Kuria amesema kuwa baadhi ya madai yaliyoibuliwa mfano kuongezwa kwa kodi ya ardhi wamepotosha umma.

Imetayarishwa na Janice Marete

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *