#Local News

FAMILIA 40,000 ZAHAMA MATHARE, NGONG “KWA HIARI”

Familia 40,000 zenye watu 100,081 zinaozishi karibu na mito katika maeneo ya Mathare na Ngong zimehama kwa hiari kutoka makazi yao, Waziri wa usalama Kithure Kindiki akisema kila aliyehama amepokea shilingi elfu 10 kutoka kwa serikali.

Katika taarifa hii leo, Kindiki amesema watu walioathirika ndio watapewa kipaumbele katika makazi ya bei nafuu yanayojengwa na serikali kote nchini.

Aidha, Waziri huyo amesema serikali itajenga ua mita 30 kutoka kwenye mito hasa katika maeneo ya miji ili kuzuia unyakuzi wa ardhi hizo.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

FAMILIA 40,000 ZAHAMA MATHARE, NGONG “KWA HIARI”

BABU OWINO ASHUTUMU UBOMOAJI GIKOMBA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *