#Local News

OCS WA CENTRAL AKAMATWA

Ocs wa kituo cha polisi cha central hapa Nairobi Samson Talam amekamatwa mjini Eldoret kaunti ya Uasin gishu.

Polisi wanadai kuwa Talam aliyekuwa hapatikani kwa njia ya simu alikuwa kwenye jaribio la kutoweka.

Talam sasa amekabidhiwa kwa mamlaka ya Ipoa inayoendelea na uchunguzi wake katika kifo chenye utata cha Albert Ojwang.

Imetayrishwa na Maureen Nyongesa

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *