#uncategorized

AWAMU YA PILI YA UCHAGUZI WA UDA WA VYAMA VYA MASHINANI YAANZA

Chama cha United Democratic Alliance (UDA) kinaendesha awamu yake ya pili ya uchaguzi wa mashinani katika wadi zote 40 ndani Kaunti ya Homa Bay leo jumamosi.


Hii ni baada ya uchaguzi wa mashinani wa wajumbe wa chama kutoka kituo cha kupigia kura ambao ulifanyika katika eneo hilo tarehe 24 Aprili 2024.


Uchaguzi wa leo unalenga maafisa wa chama ambao watawakilisha wadi zote 40 katika maeneo bunge manane ya Kaunti ya Homa Bay.

Imetayarishwa na: Janice Marete

MAKATAA YA OMBUDSMAN KWA SAKAJA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *