#Local News

WAPE HAKI WAJANE

Wanaharakati wa kutetea haki za binadamu wameibua wasiwasi kutokana na kuongezeka kwa kesi za ardhi katika kaunti ya Migori zinazohusu wajane.

Huku idadi kubwa ya wajane wakikabiliwa na migogoro ya ardhi kwa miaka mingi katika mahakama wakitafuta haki, kikundi cha watetezi kimehimiza mashirika yote ya serikali yanayoshughulikia masuala ya ardhi kutoa haki kwa waathiriwa.

Imetayarishwa na Janice Marete

WAPE HAKI WAJANE

IPITISHWE AMA IANGUSHWE?

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *