#Local News

BARINGO KUBORESHA AFYA

Serikali ya kaunti ya Baringo imewapa mafunzo maalum wahudumu wa afya kuhusiana na jinsi ya kuwashughulikia akina mama wajawazito na wakati wa kujifungua na Watoto wachanga.

Kwa mujibu wa mkurugenzi wa idara ya afya katika serikali hiyo Elizabeth Kigen, jumla ya wahudumu 95 wa afya kutoka vituo vya afya 55 wanalengwa kwenye zoezi hilo.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

BARINGO KUBORESHA AFYA

MBINU ZA SERIKALI DHIDI YA MAANDAMANO

BARINGO KUBORESHA AFYA

SAKATA YA MAGEREZA YAFIKISHWA MAHAKAMANI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *