#Local News

MZOZO WA NYAMIRA WAPATA DAWA

Hatimaye mzozo wa uongozi kwa kipindi cha zaidi ya miezi 10 katika bunge la kaunti ya Nyamira umeonekana kufikia kikomo baada ya Thaddeus Nyabara kuapishwa rasmi kuwa spika mpya wa bunge hilo.

Wakati uo huo, Duke Onyari amekabidhiwa jukumu la kusimamia afisi ya karani wa bunge hilo.

Nyabara abnachukua uongozi huo baada ya aliyekiwa spika Enock Okero kutimuliwa Septemba mwaka jana.

Imetayrishwa na Antony Nyongesa

MZOZO WA NYAMIRA WAPATA DAWA

UTATA WA RONALDO KUHAMA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *