#Local News

IDARA YA UTABIRI YATANGAZA WIKI YA MVUA

Wakenya wametahadharishwa kuhusu uwezekano wa mvua kubwa wiki hii, wakitakiwa kujiandaa ili kuwa salama.

Katika utabiri wake wa hivi punde, idara ya utabiri wa hali anga imesema huenda wiki hii ikashuhudia vipindi vya mvua, anga yenye mawingu mazito na joto kali majira ya mchana na usiku wa bairidi.

Katika kipindi cha kati ya tarehe 2 hadi 8, maeneo ya Ziwa Victoria, Magharibi, nyanda za juu za kati na pwani yataendelea kushuhudia mvua, ambayo huenda ikaathiri usafiri na ukulima.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

IDARA YA UTABIRI YATANGAZA WIKI YA MVUA

HINCAPIE AJIUNGA KWA MKOPO ASENALI

IDARA YA UTABIRI YATANGAZA WIKI YA MVUA

TETESI ZA EGP

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *