#Local News

AKINA MAMA WADAI KULA KWA MACHO

Malengo ya michango inayoendeshwa na serikali kwa madai ya kuwawezesha kifedha akina mama nchini yameibua maswali, baada ya walionufaika kudai kupokea hadi chini ya shilingi 100 pekee.

Wakosoaji wa michango hiyo wamesema serikali inatumia fursa hiyo kujitafutia umaarufu wa kisiasa taifa linapoelekea kwenye uchaguzi mkuu ujao, huku walengwa wakisema fedha hizo haziwezi kubadilisha maisha jinsi serikali inavyodai.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *