#Local News

WATOTO WATATU WAANGUSHWA NA GARI LA POLISI KITUI

Watoto watatu wenye umri wa kati ya miaka saba na minane wanapokea matibabu katika hospitali moja huko Kyuso, Kaunti ya Kitui baada ya kuangushwa na gari la polisi jana jumapili.

Ajali hiyo ilitokea katika eneo la Kamuwongo huku polisi wakiendesha gari kutoka Kakunike kuelekea Kyuso.

Kwa mujibu wa Chifu msaidizi wa eneo hilo David Mwendwa watoto hao walikuwa wakielekea nyumbani baada ya kuhudhuria ibada kanisani.

Imetayarishwa na Janice Marete

WATOTO WATATU WAANGUSHWA NA GARI LA POLISI KITUI

WACHA WATOTO NAIROBI WALE, MAHAKAMA

WATOTO WATATU WAANGUSHWA NA GARI LA POLISI KITUI

MAAFISA WAKUU WAKAMATWA KWA MADAI YA ULAGHAI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *