#Local News

WAKENYA WASHINIKIZA MSHIKAMANO, UMOJA

Wakenya kutoka matabaka mbali mbali wanaendelea kushinikiza mshikamano miongoni mwa viongozi ili kutuliza joto la kisiasa, ambalo wanahofia huenda likalemaza utendakazi wa serikali.

Akizungumza kwenye kaunti ya Nyandarua, Waziri wa usalama wa kitaifa Kithure Kindiki amewahimiza viongozi kushirikiana kwa lengo la kuboresha Maisha ya wakenya.

Wakati uo huo, wananchi wa kawaida wamesikitishwa na mirengo ambayo imeibuka katika chama cha UDA, wakihofia kwamba huenda migawanyiko hiyo ikalemaza maendeleo na kuzua chuki.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

WAKENYA WASHINIKIZA MSHIKAMANO, UMOJA

ADANI: ONYONKA AIBUA ‘USHAHIDI’ MPYA

WAKENYA WASHINIKIZA MSHIKAMANO, UMOJA

LIPO TUMAINI HAITI, RAIS RUTO

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *