#Local News

“ISIRUDIE TENA!” RUTO AWAONYA POLISI

Rais William Ruto amewaamuru maafisa wa polisi kuwahakikishia usalama maafisa wa idara ya mahakama, huku akishutumu kisa ambapo afisa wa polisi alimshambulia kwa risasi hakimu mkuu wa mahakama ya Makadara Monica Kivuti wiki jana.

Katika risala zake za rambi rambi kwa hakimu huyo, Rais Ruto amewataka maafisa wa polisi kuhakikisha kuwa tukio saw ana hilo haliatashuhudiwa tena.

Kupitia taarifa aliyoichapishwa kwenye akaunti yake ya mtandao wa X, ruto amemtaja Hakimu Kivuti kama mtu mwenye msimamo na mwenye aliyewatumikia wakenya kwa kujitolea.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *