BIMA MPYA YA AFYA KUZINDULIWA LEO
Wakenya wametakiwa kujisajili katika bima mpya ya afya bila wasi wasi kwa kuwa kufanya hivyo kutawapa nafasi nzuri ya kupata huduma bora za afya.
Katibu katika wizara ya afya Harry Kemuati amesema kuwa data za wagonjwa zitawekwa katika mfumo wa kidijitali kwa lengo la kuimarisha upatikanaji wa huduma bora za afya.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































