#Local News

PENDEKEZO LA MINONG’ONO

Viongozi kutoka eneo la Northrift wamepinga vikali mpango wa serikali kuiondoa kaunti ya Elgeyo Marakwet kwenye orodha ya maeneo yanayostahili wafanyakazi wa umma kulipwa fedha za ugumu wa mazingira, wakitaja mpango huo kuwa wa kusikitisha.

Miongoni mwa viongozi hao ni mwakilishe wa kike wa kaunti hiyo Caroline Ng’elechei, mbunge wa Mogotio Reuben Kiborek na mwenzake wa Keiyo South Gideon Kimaiyo.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

PENDEKEZO LA MINONG’ONO

KWANINI NG-CDF, NGAF

PENDEKEZO LA MINONG’ONO

SHA YAINGIA GEREZANI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *