PENDEKEZO LA MINONG’ONO
Viongozi kutoka eneo la Northrift wamepinga vikali mpango wa serikali kuiondoa kaunti ya Elgeyo Marakwet kwenye orodha ya maeneo yanayostahili wafanyakazi wa umma kulipwa fedha za ugumu wa mazingira, wakitaja mpango huo kuwa wa kusikitisha.
Miongoni mwa viongozi hao ni mwakilishe wa kike wa kaunti hiyo Caroline Ng’elechei, mbunge wa Mogotio Reuben Kiborek na mwenzake wa Keiyo South Gideon Kimaiyo.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 












































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































