#Local News

WABUNGE WASHUTUMU UKATILI WA POLISI

Wabunge wameitaka idara ya polisi kuwawajibisha maafisa wasiozingatia sheria, hasa kufuatia tukio la afisa wa polisi kumpiga risasi kwa karibu mchuuzi wa maski jijini Nairobi wakati wa maandamano ya kupinga ukatili wa polisi.

Wakizungumza wakati wa vikao bungeni, wabunge hao wameshutumu tukio hilo, wakihofia kwamba huenda matukio ya aina hiyo yakatishia mshikamano kati ya polisi na umma.

Imetayrishwa na Antony Nyongesa

WABUNGE WASHUTUMU UKATILI WA POLISI

TIMU YA DIVAS YAINYOROSHA USA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *