#Local News

KOOME AAHIDI MAHAKAMA YA RUFAA ELDORET

Jaji mkuu Martha Koome amesema mahakama ya rufaa ya kudumu itazinduliwa mjini Eldoret punde baada ya kukamilika kwa mahojiano ya kuwaajiri majaji wa mahakama hiyo.

Akizungumza alipomtembelea gavana wa Uasin Gishu Joanathan Bii afisini mwaka, koome amesema kuwa idara ya mahakama itaongeza jaji mwingine katika mahakama kuu ya Eldoret.

Ziara yake imejiri wakati ambapo uzinduzi wa mahakama katika eneo bunge la Moiben unatarjiwa, sawa na mahakama usulihishi wa migogoro kwa njia za maelewano.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *