#Local News

WAKILI DORCAS ODUOR AOMBA KESI YA MAKAMISHNA IEBC IPINGWE

Mwanasheria Mkuu Dorcas Oduor ameweka pingamizi la awali dhidi ya kesi inayoipinga orodha ya Rais Ruto ya makamishna wa IEBC, akidai haijatimiza masharti ya kisheria na ilipaswa kutumia njia za kikatiba kwanza.

Oduor anaitaka mahakama kutupilia mbali kesi hiyo kwa kuwa ni ya mapema mno.

Walalamikaji, Kelvin Omondi na Boniface Mwangi, wanapinga uteuzi huo wakidai ni batili na kinyume cha katiba.

Imetayarishwa na Janice Marete

WAKILI DORCAS ODUOR AOMBA KESI YA MAKAMISHNA IEBC IPINGWE

WANAHARAKATI WAANDAMANA KUSHUTUMU TANZANIA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *