#Local News

ODM IKO IMARA, NYONG’O

Kaimu kinara wa chama cha ODM ambaye pia ni gavana wa Kisumu Anyang Nyong’o, amewataka viongozi wa chama hicho kusalia waaminifu chamani, na kuwakumbusha kwamba wana jukumu la kuwatumikia wananchi.

Akizungumza jijini Kisumu, Nyong’o amesisitiza umuhimu wa kuimarisha usawa kwenye chama hicho cha chungwa, huku akitoa hakikisho kwamba chama hicho kitasalia imara licha ya Raila Odinga kuteuliwa kusimamia bara la Afrika.

Gavana huyo amezungumza katika mkutano wa hadhara kwa mara ya kwanza tangu akabidhiwe uongozi wa chama hicho.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

ODM IKO IMARA, NYONG’O

GACHAGUA: MAHAKAMA YAMPA PIGO JINGINE

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *