HOFU YA MAFURIKO BUDALANG’I
Wakazi wa Budalang’i kaunti ya Busia wameiomba serikali kuchimba mabwawa makubwa kwenye mito ya Nzoia na Yala ili kudhibiti mafuriko ya kila mara eneo hilo.
Wakiongozwa na mbunge wa eneo Raphael Wanjala, wakazi hao wamesema kuwa wameingiwa na hofu ya kusombwa na mafuriko, kutokana na mvua kubwa.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 











































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































