#Local News

WAKAZI WA LITEIN WALALAMIKIA UHALIFU NA UKOSEFU WA MIUNDOMBINU

Baadhi ya wakazi wa Litein, Kaunti ya Kericho, wameitaka serikali ya kaunti kuingilia kati na kushughulikia ongezeko la visa vya uhalifu na hali duni ya miundombinu.

Kulingana na wakazi eneo hilo halina taa za barabarani, jambo linalowafanya wafanyabiashara kuwa shabaha rahisi kwa wahalifu. Pia wamelalamikia ukosefu wa maji wa mara kwa mara, hali inayovuruga shughuli zao za kila siku na biashara.

Wakazi hao wametishia kuandamana endapo hatua haitachukuliwa kushughulikia malalamiko yao.

Imetayarishwa na Janice Marete

WAKAZI WA LITEIN WALALAMIKIA UHALIFU NA UKOSEFU WA MIUNDOMBINU

WAATHIRIWA WA JANGA LA BWAWA LA MAI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *