#Local News #uncategorized

MACHO EAC KUHUSU MZOZO WA KENYA-TANZANIA

Macho yote sasa yameelekezwa kwa Jumuiya ya Afrika Mashiriki EAC kuona ni hatua zipi zitakazochukuliwa ili kuzima mzozo wa kidiplomasia uanotokota kati ya Kenya na Tanzania.

Hii ni baada ya Kenya kuiandikia rasmi Jumuiya hiyo kupinga vikwazo vya kibiashara vilivyowekwa na Tanzania kuhusu kufanya biashara nchini humo, katibu mkuu katika idara ya EAC Caroline Karugu, akisema vikwazo hivyo vinakiuka itifaki za soko la pamoja la EAC.

Miongoni mwa itifaki hizo ni uhuru wa raia wa jumuiya hiyo kusafiri, kuhudumu na haki ya kuanzisha biashara katika mataifa wanachama.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

MACHO EAC KUHUSU MZOZO WA KENYA-TANZANIA

KARO VYUONI YAPUNGUZWA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *