MALALA AWAONYA WABUNGE WA KENYA KWANZA DHIDI YA KUPINGA MSWADA 2024
Cleophas Malala ambaye ni katibu wa chama cha UDA amewaonya wabunge wa kenya kweanza dhidi ya kuenda kinyume na matakwa ya serikali wakati wa kujadili mswada wa fedha.
Kwa mujibu wa Malala watakaokiuka msimamo wa vyama tanzu vya kenya kwanza watachukuliwa hatua kali za kinidhamu.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































