#Local News

MALALA AWAONYA WABUNGE WA KENYA KWANZA DHIDI YA KUPINGA MSWADA 2024

Cleophas Malala ambaye ni katibu wa chama cha UDA amewaonya wabunge wa kenya kweanza dhidi ya kuenda kinyume na matakwa ya serikali wakati wa kujadili mswada wa fedha.

Kwa mujibu wa Malala watakaokiuka msimamo wa vyama tanzu vya kenya kwanza watachukuliwa hatua kali za kinidhamu.

Imetayarishwa na Janice Marete

MALALA AWAONYA WABUNGE WA KENYA KWANZA DHIDI YA KUPINGA MSWADA 2024

KURIA AWASUTA WANAOPINGA MSWADA WA FEDHA

MALALA AWAONYA WABUNGE WA KENYA KWANZA DHIDI YA KUPINGA MSWADA 2024

CJ KOOME ATOA HATUA 7 ZA USALAMA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *