#Local News

MGOMO WA WAHADHIRI WAANZA

Shughuli za masomo katika vyuo vikuu vya umma nchini zinatarajiwa kusambaratika kuanzia leo kufuatia mgomo wa wahadhiri ambao umenza rasmi usiku wa manane baada ya makataa yao kwa serikali kukamilika.

Katibu mkuu wa muungano wao UASU Dakta Constantine Wasonga, amesema juhudi zao kufanya mazungumzo na serikali zimefeli, mwenzake wa KUSU Charles Mukhwana, akisema hawatarejea kazini bila malalamishi yao kuangaziwa.

Hata hivyo, Waziri wa elimu Julius Ogamba, amesema juhudi zinaendelea kusitisha mgomo huo.

Imetayarishwa na Antony Ngongesa

MGOMO WA WAHADHIRI WAANZA

MTOTO WA MIAKA 6 ATEKETEA KAKAMEGA

MGOMO WA WAHADHIRI WAANZA

USAJILI WA MAKURUTU WA POLISI KUANZA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *