#Local News

KMPDU NANDI YAONYA SERIKALI

Muungano wa madaktari eneo la kaskazini mwa bonde la ufa umetoa ilani ya siku 7 kwa serikali ya kaunti ya Nandi kuwalipa madaktari 19 mishahara ya miezi ya Machi na Aprili imbayo ilisimamishwa kutokana na mgomo uliuoshuhudiwa wakati huo kote nchini.

Wakiongozwa na katibu wao tawi la eneo hilo Daktari Kamozi Mulee, madakatari hao wamesema wanaidai kaunti ya Nandi jumla ya shilingi milioni 7.

Kwa mujibu wa katibu huyo, kaunti ya nandi ina madaktari 70 ambao hawajapokea marupurupu yao ya shilingi 20,000 kwa mwezi.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

KMPDU NANDI YAONYA SERIKALI

OGAMBA ATOA AGIZO KWA WAKUU WA VYUO

KMPDU NANDI YAONYA SERIKALI

FANYA KAMA COVID, WIZARA YA AFYA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *