#Local News

PINDA PINDUA ZA MAANDAMANO

Maandamano yanayoendelezwa nchini yamechukua mkondo tofauti, baada ya wahudumu wa afya kutishia kusitisha utoaji huduma iwapo usalama wao utaendelea kuwekwa hatarini jinsi ilivyoshuhudiwa Jumatatu ambapo wahuni walivamia hospitali ya Kitengela Subcounty.

Wakiwahutubia wanahabari katika hospitali hiyo, maafisa wa miungano ya afya wakiongozwa na katibu mkuu wa KUCO George Gibore, wametishia kutoingia kazini siku ya maandamano.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

PINDA PINDUA ZA MAANDAMANO

LUSAKA ATIA SAINI BAGETI

PINDA PINDUA ZA MAANDAMANO

GAVANA GUYO APUMUA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *