#Local News

TAHARUKI NAIROBI KUHUSU HOJA YA KUMBANDUA SAKAJA

Wawakilishi wadi katika bunge la kaunti ya Nairobi wamepanga kuwasilisha bungeni hoja ya kumtimua kutoka afisini gavana Johnson Sakaja na naibu wake Njoroge Muchiri hii leo.

Wawakilishi wadi wapatao 90 wameripotiwa kutia Saini hoja hiyo na hivyo kuzidi kiwango hitajika cha 41 ili kuwasilisha hoja hiyo bungeni.

Miongoni mwa tuhuma zaidi ya 20 wanazoibua ni madai kwamba majukumu ya bunge la kaunti hiyo yamepuuzwa na serikali tendaji.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

TAHARUKI NAIROBI KUHUSU HOJA YA KUMBANDUA SAKAJA

WAKUU WA MBUGA YA NAKURU MAHAKAMANI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *