#Local News

WASHUKIWA WA MAUAJI YA WERE KUSALIA KIZUIZINI

Washukiwa 3 walioshtakiwa kwa kuhusika na mauaji ya mbunge wa Kaspul Charles Were wataendelea kuzuiliwa kwa muda wa siku 30 wakisubiri mwelekeo wa mahakama.

Tatu hao William Imoli,Edwin Oduor na Ebel Ochieng walikana mashtaka dhidi yao baada ya kufikishwa mbele ya jaji Diana Kavedza.

Awali tatu hao walikosa kuchiliwa kwa dhamana baada ya mmoja wao kumtishia kiongozi wa mashtaka .

Imetayrishwa na Maureen Mukhobe

WASHUKIWA WA MAUAJI YA WERE KUSALIA KIZUIZINI

MAKADIRIO YA MAANDAMANO

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *