KIKAO CHA KUJADILI HOJA YA KUMBANDUA LINTURIMAMLAKANI KIMEAHIRISHWA

Kikao cha kujadili hoja ya kumbandua linturi mamlakani kimeahirishwa
Kikao hicho kilichokuwa kimeratibiwa kufanyika jioni hii kimeahirishwa kutokana na kukatizwa kwa nguvu za umeme.
Seneta wa nairobi Edwin Sifuna kupitia mtandao wake wa x amefichua kwamba wamelazimika kusimamisha vikao vya seneti vilivyoratibiwa kufanyika jioni hii “tumelazimika kusimamisha vikao vya seneti kwa sababu hakuna mamlaka katika bunge,” alisema.
English 



















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































