#Local News

SERIKALI YATAKIWA KUWAHUSISHA WAKENYA KATIKA MASWALA MUHIMU YA TAIFA

Wakaazi wa kaunti ya Kisumu wanaitaka serikali kuwahusisha wakenya katika maswala mbali mbali ya kitaifa.

Wakaazi hao wanasema kuwa maandamano ambayo yamekuwa yakishuhudiwa humu nchini hayangekuwepo ikiwa serikali iliwahusisha wananchi katika swala nzima la mswada wa fedha wa 2024/25.

Imetayarishwa na Janice Marete

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *