#Local News

MGOMBEA WA FKF TOM ALILA AITAKA BODI YA UCHAGUZI KUWEKA MAMBO WAZI KWA AJILI YA UCHAGUZI HURU

Mgombea wa urais FKF Tom Alila ameitaka bodi ya uchaguzi kuweka mambo kuwa sawa ili kuepuka mizozo ya uchaguzi

Kulingana na Alila kuan daa bodi ya uchaguzi katika kandanda ambako kfk ina uthabiti kamili hakuhakikishii uchaguzi huru na wa haki

Anataka pia bodi huru ya rufaa kuundwa ili kuhakikisha rufdaa zinashuh=ghulkikiwa kwa uwazi

Alila ambaye anadaiwa kuwasilisha kesi mahakamani kwa shirikisho hilo ni miongoni mwa wagombea ambao wameonyesha kutorithishwa na bodi hiyo kabla ya uchaguzi wa decemba tarehe 7

Imetayarishwa na Janice Marete

MGOMBEA WA FKF TOM ALILA AITAKA BODI YA UCHAGUZI KUWEKA MAMBO WAZI KWA AJILI YA UCHAGUZI HURU

KENYA YATAKA IMF KUFANYA TATHMINI YA UONGOZI

MGOMBEA WA FKF TOM ALILA AITAKA BODI YA UCHAGUZI KUWEKA MAMBO WAZI KWA AJILI YA UCHAGUZI HURU

DP GACHAGUA KUHUTUBIA TAIFA USIKU WA LEO

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *