USAFIRI WALEMAZWA KWENYE BARABARA YA GARISSA-NAIROBI

Wasafiri wanaotumia barabara kuu ya Garissa kueekea Naiorbi wametatizika kwa mara nyingine baada ya barabara hiyo kukatika katika eneo la Punda kona kutokana na mafuriko.
Wengi wa waathiriwa ni wafanyabiashara ambao wamehofia kuharibika kwa bidhaa zao, na hivyo kuivuka barabara hiyo licha ya hatari inayowakabili.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa