USAFIRI WALEMAZWA KWENYE BARABARA YA GARISSA-NAIROBI
Wasafiri wanaotumia barabara kuu ya Garissa kueekea Naiorbi wametatizika kwa mara nyingine baada ya barabara hiyo kukatika katika eneo la Punda kona kutokana na mafuriko.
Wengi wa waathiriwa ni wafanyabiashara ambao wamehofia kuharibika kwa bidhaa zao, na hivyo kuivuka barabara hiyo licha ya hatari inayowakabili.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































