#Local News

WANAHARAKATI WA KUTETEA HAKI ZA BINADAMU WAPENDEKEZA FEDHA ZAIDI KWA IDARA YA MAHAKAMA

Wanaharakati wa kutetea haki za binadamu na wasimamizi wa mashirika ya kijamii eneo la magharibi wametoa wito kwa serikali kuongeza mgao wa fedha katika idara ya mahakama.

wanahakati hao wanasema kuwa hatua hiyo itawezesha kutenga fedha za kufanikisha kesi za dhuluma za kijinsia kwa haraka ili familia husika zipate haki.

Imetayarishwa na Janice Marete

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *