VIONGOZI WA KISIASA WATAKIWA KUWAJIBIKIA MAJUKUMU YAO KWA WANANCHI

Viongozi wametakiwa kuwajibikia majukumu yao kikamilifu ili kuwaondolea wananchi maangako yanayotokana na uongozi duni.
Aliyekuwa Waziri wa barabara katyika kaunti ya Bungoma Collins Mukhongo amewataka viongozi kuwajibika huku akiwasuta baadhi ya viongozi wa kaunti ya Bungoma kwa ujtepetevu katika swala la miradi ya maendeleo.
Mukhongo aidha amewataka viongozi kuangazia sera muhimu zitakazolainmisha sekta ya elimu akitoa mfano wa mifumo inayotumika katika utoaji wa basari.
Imetayarishwa na Janice Marete