#uncategorized

RUTO ANYIMWA NAFASI KULIHUTUBIA BUNGE LA MAREKANI

Rais William Ruto hatahutubia kikao cha pamoja cha Congress katika ziara yake ijayo ya Kiserikali nchini Marekani.


Hii ni baada ya Spika Mike Johnson kukataa ombi la baadhi ya wabunge wa Democrat waliokuwa wamemwalika Rais Ruto kuhutubia bunge la kitaifa la marekani.


Katika taarifa naibu mkuu wa wafanyikazi wa Spika Johnson Raj Shah amesema uamuzi wa kutomwalika Ruto kuhutubia kikao cha pamoja cha bunge umetokana na vikwazo vya kuratibiwa.

ABIRIA WAKWAMA NDANI YA GARILA ABIRIA KWENYE

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *