NTSA YATOA WITO KWA WAKENYA KUDUMISHA USALAMA BARABARABANI
Washikadau mbali nbali katika sekta ya uchukuzi wametakiwa kuchukua tahathari za mapema ili kuhakikisha visa vya ajali ambavyo vinaweza kuzuiliwa vinazuiwa haswa msimu huu wa krismasi.
Mshirikishi wa mamlaka ya kitaidfa ya uchukuzi na usalama barabarani NTSA tawi la Nyanza Isaac Silali ametoa wito kwa wananchi kushirikiana na idara husika ili kudumisha usalama barabarani.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 












































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































