#Local News

NTSA YATOA WITO KWA WAKENYA KUDUMISHA USALAMA BARABARABANI

Washikadau mbali nbali katika sekta ya uchukuzi wametakiwa kuchukua tahathari za mapema ili kuhakikisha visa vya ajali ambavyo vinaweza kuzuiliwa vinazuiwa haswa msimu huu wa krismasi.

Mshirikishi wa mamlaka ya kitaidfa ya uchukuzi na usalama barabarani NTSA tawi la Nyanza Isaac Silali ametoa wito kwa wananchi kushirikiana na idara husika ili kudumisha usalama barabarani.

Imetayarishwa na Janice Marete

NTSA YATOA WITO KWA WAKENYA KUDUMISHA USALAMA BARABARABANI

WHO: WATU 3000 HUFARIKI KILA SIKU KATIKA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *