#Local News

UTEUZI WA ODM SERIKALINI KUWA MAWAZIRI WAPUNGUZA MAKALI YA MAANDAMANO

Baadhi ya vijana wa gen z wanasema kuwa wanasubiri kuona kama rais william Ruto atashughulikia maswala muhimu waliyoibua wakati wa maandamano likiwemo swala la kupunguza gharama ya Maisha.

Vijana hao wanasema kuwa kuteuliwa kwa wanachama wa ODM katika baraza la mawaziri kumepunguza makali ya maandamano ya Gen-Z.

Imetayarishwa na Janice Marete

UTEUZI WA ODM SERIKALINI KUWA MAWAZIRI WAPUNGUZA MAKALI YA MAANDAMANO

HOFU YA KUPUNGUA KWA NDOVU NCHINI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *