#Local News

MAGAVANA WALALAMIKIA UKOSEFU WA FEDHA

­Magavana wameitaka serikali kuu kutoa mgao wa kaunti wa miezi ya Februaria na Machi mwaka huu ili kuwawezesha kuendeleza utoaji huduma kwa wakazi wanazoesema zimeathirika kutokana na ukosefu wa fedha.

Kwa mujibu wa gavana wa Kakamega Fernandez Barasa ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya fedha katika baraza la magavana, kaunti zinaidai serikali kuu shilingi bilioni 63 za kipindi hicho.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

MAGAVANA WALALAMIKIA UKOSEFU WA FEDHA

DUALE AELEKEZA FIMBO KWA WAKUU

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *